Skip to main content

BUNGE LA TAIFA KUTUMIA KISWAHILI KATIKA MIJADALA BUNGENI

Matumizi ya lugha ya Kiswahili katika Bunge la Taifa la Kenya imekuwa safari ya mwendo wa kobe.

Mara ya kwanza kwa Bunge hili kukumbatia matumizi ya Kiswahili ilikuwa mnamo mwaka wa 1974. Hii ni baada ya Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kenya Hayati Mzee Jomo Kenyatta kutangaza kuwa Kiswahili iwe mojawapo ya lugha za kutumiwa kuendesha mijadala Bungeni.  Alitoa amri hiyo baada ya Kiswahili kupandishwa hadhi na kuwa lugha ya Taifa nchini Kenya, kulingana na chapisho la Lyndon Harries.

HOUSE COMMITTEE VETS A FIRST DATA COMMISSIONER IN KENYA

The National Assembly’s Departmental Committee on Communication Information and Innovation chaired by Hon. William Kisang has today vetted a Data Commissioner nominee Ms. Immaculate Kassait.

If approved, this will be the first ever data office in Kenya. Ms. Immaculate Kassait was nominated by His Excellency the President in accordance with the provisions of Section 6 (4) of the Data protection Act, 2019.

The website encountered an unexpected error. Please try again later.