Skip to main content

BUNGE LA TAIFA KUTUMIA KISWAHILI KATIKA MIJADALA BUNGENI

Matumizi ya lugha ya Kiswahili katika Bunge la Taifa la Kenya imekuwa safari ya mwendo wa kobe.

Mara ya kwanza kwa Bunge hili kukumbatia matumizi ya Kiswahili ilikuwa mnamo mwaka wa 1974. Hii ni baada ya Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kenya Hayati Mzee Jomo Kenyatta kutangaza kuwa Kiswahili iwe mojawapo ya lugha za kutumiwa kuendesha mijadala Bungeni.  Alitoa amri hiyo baada ya Kiswahili kupandishwa hadhi na kuwa lugha ya Taifa nchini Kenya, kulingana na chapisho la Lyndon Harries.

House Reconvenes, Jubilant Over High Court Judgment

The Speaker of the Senate, Rt Hon Kenneth Lusaka has termed the High Court Judgment on Constitutional Petition 284 of 2019 as a “landmark ruling” that not only reaffirms constitutionalism and the rule of law in Kenya, but also the role of the Senate in devolution.
Addressing the House by way of Communication from the Chair after a three-week recess, Speaker Lusaka noted that the judgment by the three-judge bench has far-reaching implications on the legislative business of the Senate.

Subscribe to News & Events
The website encountered an unexpected error. Please try again later.