Skip to main content

Rais Suluhu aangazia umoja wa Wakenya na Watanzania katika hotuba yake kwa Bunge

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Wakenya na Watanzania kuungana na kutangamana ili kuhamasisha uhusiano wao wa kibiashara na udugu.

Akihutubia Wabunge takribani mia moja na hamsini kutoka kwa Mabunge yote mawili katika Kikao cha Pamoja cha Bunge, Rais Suluhu aliangazia sana faida za muungano wa Wakenya na Watanzania katika ngazi mbalimbali.

Rais Samia Suluhu Hassan Kuzuru Bunge la Kenya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kutembelea maeneo ya Bunge hivi leo. Baadaye, hapo kesho adhuhuri, Rais huyo ameratibiwa kuhutubia Bunge katika Kikao Maalum. Rais Suluhu anatarajiwa kutoa heshima katika kaburi la Rais wa kwanza wa Kenya, hayati Mzee Jomo Kenyatta.

Selection Panel for IEBC Commissioners takes Oath of Office; holds inaugural meeting

Selection Panel for IEBC Commissioners takes Oath of Office; holds inaugural meeting

Members of the Selection Panel for the Appointment of Commissioners of the Independent Electoral and Boundaries Commission have today elected Dr. Elizabeth Muli and Mr. Awori James Achoka as Chairperson and Vice Chairperson, respectively; setting in motion to process to fill the four vacancies in the membership of the poll Commission.

Senate Health Committee meets Private Sector to Discuss Contribution in COVID-19 Fight

NAIROBI, 20 April – The Senate Committee on Health presided by Ag Chair, Sen Ledama Olekina has today heard that the country’s supply of the Astra Zeneca-Oxford COVID-19 vaccine may run out by next week.

 

In a meeting held between the Committee and the private sector, Dr. Amit Thakker who is the Chair of the Kenya Healthcare Federation (KHF), however, allayed fears of those expecting their second jabs, saying he remained optimistic.

 

NATIONAL ASSEMBLY PROCEEDS ON RECESS

The National Assembly yesterday voted to proceed on recess until on Tuesday, 4th May, 2021 at 2.30p.m, when the House will resume to continue with the First Part of the Session. The resolution was contained in a Motion moved by the Leader of the Majority in the National Assembly, Hon. (Dr.) Amos Kimunya seeking to suspend the Ordinary House Sittings from yesterday 30th March, 2021.